• KUPATA KITABU WASILIANA NA SINGO E MGONJA 0718422414

    Kuna mawakala wengi Walio wekwa Tanzania Nzima, Piga Imus hiyo hapo juu Utaelekezwa namna ya kupata kitabu chako.
  • KUPATA KITABU WASILIANA NA SINGO E MGONJA 0718422414

    Kuna mawakala wengi Walio wekwa Tanzania Nzima, Piga Imus hiyo hapo juu Utaelekezwa namna ya kupata kitabu chako

Tembelea site zingine


Wednesday, August 8, 2012

Dk.Muhiche aendelee kung'aa TAG

KAMA ilivyokuwa kwa Askofu Mkuu Dk. Barnabas Mtokambali kurudi kwenye nafasi yake ndivyo ilivyokuwa kwa Makamu Askofu Dk.Magnius Muhiche japokuwa hali ilikuwa tete kwa upande wake kutokana na uchaguzi kurudiwa zaidi ya mara nne kwa ajili ya upinzani uliokuwepo baina yake na mgombea mwenza Askofu Lawrance Kametta.

Ushindi huo wa Dk. Muhiche, ambao aliupata kwa kura 1398 ulikuwa na mvutano mkubwa kutokana na kwamba halikuwa hafiki zaidi ya theruthi tatu japokuwa alikuwa akimpita kwa mbali mgombea mwenza jambo lililosababisha uchaguzi kurudiwa zaidi ya mara nne.

Wachungaji wapatao elfu tatu wako mkoani Dodoma kwa ajili ya uchaguzi lakini waliokuwa na sifa za kupiga kura ni elfu mbili mia moja na kumi na moja.

No comments:

Post a Comment